KILA KITU UNACHOHITAJI KUFAHAMU KUHUSU MKUTANO MKUU WA NNE WA MWAKA WA WATHAMINI (VRB AGM) 2023

Image
Mkutano Mkuu wa Nne wa Mwaka wa Wathamini ulifanyika tarehe 9 na 10 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Mrisho Kikwete jijini Dodoma. Mkutano huu uliitishwa na Bodi ya Usajili wa Wathamini Tanzania (Valuers Registration Board - VRB). Ipi Ilikuwa Mada Kuu ya Mkutano? "Utafiti na Uchimbaji Madini kwa Maendeleo Endelevu ya Taifa: Tathmini ya Athari Haki-ardhi, Thamani na Fidia ya Ardhi" Umeona Kiswahili chake ni kigumu, huh? Kwa kiingereza mada inamaanisha  "Harnessing Mineral Wealth for National Sustainable Development: Implication for Land Rights, Values and Compensation" Nani Alihudhuria? Wathamini, na Wadau wa Uthamini nchini Tanzania. Mgeni Rasmi alikuwa nani? Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa. Mambo Yaliyojadiliwa UADILIFU KATIKA UTHAMINI Mgeni Rasmi alisisitiza kuhusu uadilifu miongoni mwa wathamini "Kazi yenu (ya uthamini) inahitaji watumishi wenye weledi, wanaojituma wanaowajibika na waadilifu...

About

About The Aliland

The Aliland is an online platform dedicated to real estate knowledge, information, and resources in Tanzania. We publish articles in both English and Swahili covering land law, land purchase procedures, valuation practice, and updates from the real estate and land valuation sector.

Our goal is simple: to help landowners, buyers, students, and professionals understand how land works in Tanzania — from the legal steps involved in buying registered land, to the categories of land recognised under the Land Act, to news from bodies such as the Valuers Registration Board (VRB).

What We Cover

  • Guides on buying and registering land in Tanzania
  • Explainers on land law and land categories
  • Directories of valuation firms and land economy practitioners
  • Coverage of industry events (e.g. the VRB Annual General Meeting)
  • Bilingual content (English & Swahili) for wider accessibility

The Aliland Team

The Aliland is run by a small team of contributors and moderators based in Tanzania, committed to making land and real estate information accessible to everyone.

Want to contribute or join the team? Visit our Contact page.

Comments